JE WAJUA|NCHI ISIYO NA WATU AFRICA



 NAMIBIA NCHI ISIYO NA WATU.

Namibia 🇳🇦 ni nchi tupu zaidi barani Afrika kwa ukubwa wa ardhi.

Licha ya ukubwa wake mkubwa wa ardhi, ina idadi ya watu wachache sana (watu milioni 2.6).

Namibia ni kubwa mara 3.37 kuliko Uingereza. 🇬🇧

Namibia ni kubwa mara 2.5 kuliko Ujerumani. 🇩🇪

Namibia ni kubwa mara tatu kuliko Ufaransa. 🇫🇷

Namibia ni kubwa mara mbili kuliko Hispania. 🇪🇸

Kuna ng'ombe wengi zaidi kuliko watu nchini Namibia. 🇳🇦

Jumapili, unaweza kuendesha gari kwa saa moja bila kuona mtu yeyote.

Bichi za Namibia mara nyingi ni tupu na tulivu.

Post a Comment

Previous Post Next Post